Kuna sheria zinawabana Takukuru kufanya kazi yake
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru inakumbana na changamoto mbalimbali katika kufanya kazi yake.Mambo hayo yalitajwa kama uudwaji wake na vilevile wananchi wengi wa Tanzania kutokuwa na uelewa kuhusu haki zao
Mambo hayo yalielezwa na moja ya wafanyakazi wa Takukuru Dodoma Bwana Zakaria Mwandumbya alisema haya katika mkutano wa Africa Peer Review Mechanism.
Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi
Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni
-
Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito
kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili
kushughulikia mapu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment