Kesho Jumanne Tarehe 9 Aprili ndio siku atakayozikwa aliyekuwa Muigizaji maalufu wa Filamu Nje na ndani ya Tanzania Maehemu Steven Kanumba maeneo ya Kinondoni.
Heshima za mwisho za kuaga mwili wa marehemu Kanumba zitafanyika maeneo ya Leaders Club Kinondoni na mazishi yatakuwa makaburi ya Kinondoni
Mwili utawasili Leaders mishale ya saa nne asubuhi,hivyo watu wanashauriwa kuwepo maeneo yale mida ya saa tatu za asubuhi.Vilevile polisi wameeleza kuwa bara bara ya Kinondoni itafungwa kwa muda wote wa shughuli hiyo.
Aidha uchunguzi juu ya kifo chake bado unaendelea,"Mtuhumiwa Lulu hataruhusiwa kuwepo kwenye mazishi ya kanumba kisheria,"Alieleza RPC
Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi
Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni
-
Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito
kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili
kushughulikia mapu...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment