Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
Serikali yafurahishwa na taaluma St Anne Marie Academy he
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi
Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kw...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment