Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TCIA Bwn Josephat Nakapape ameeleza kuwa kutakuwa na utoaji wa Tuzo mbali mbali kwa Wahandisi,wasanifu na wajenzi wa viwanda.Katika kukubali kazi nzuri wanazozifanya.Tuzo hizo zitaleta mukali kwa utendaji kazi,ubora na umakini katika sekta hiyo.Aidha na kufungua nafasi kwa wawekezaji kuja na kuwekeza katika nchi yetu.
Kwa mujibu wa Dkt.Victor Muchuza(TCIA),Tuzo hizo zimegawanywa kutokana na gharama na aina ya miradi
"Tuzo zipo kwa miradi yote iliyofanyika nchini Tanzania kwa mhandisi wa ndani na nje pia"Aliongezea.
Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi
Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni
-
Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito
kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili
kushughulikia mapu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment