Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi
Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni
-
Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito
kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili
kushughulikia mapu...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment