Matatizo yanayoikumba sekta ya Elimu
Matatizo yanayoikumba sekta ya elimu yameonekana kama ni ishara mbaya kwa nchi huko mbeleni kama hayatashughulikiwa.Hayo yamesemwa na mratibu wa Tanzania Education Network(TEN) Helima Mangele katika mkutano wa tano wa elimu bora uliofanyika Dar Es Salaam
Alisema kuna changamoto mbalimbali zinazokabili sekta hiyo ya Elimu ikiwemo uchache wa walimu,vitendea kazi pamoja na miundo mbinu.Aidha alieleza kuwa serikali inadhamira ya kukuza elimu kwa kuongeza shule ambayo hiyo itasaidia kuongeza elimu ya sekondari kwa wananchi.Alisema serikali imefanikiwa kufanya hivyo lakini bado kuna changamoto zinazoikabili sekta hiyo kama ukosefu wa walimu na miundombinu
MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya
Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo y...
7 hours ago




No comments:
Post a Comment