Kompyuta za Macintosh zilizojizolea umaarufu mkubwa baada ya sifa zake kuwa haziingii virusi,Hivi majuzi imetangazwa kuwa kumpyuta zaidi ya nusu milioni za kampuni hiyo zimeingiwa na virusi.
Virusi hivyo vilivyotengenezwa rasmi kuathiri machine zote za kampuni ya Apple.
Aidha imeelezwa kwamba wataalamu wengi waliobobea kwenye kutengeneza virusi vya kuathiri kompyuta sasa wameelekeza nguvu zao nyingi kwenye kushambulia mashine za kampuni ya Apple.
MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya
Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo y...
7 hours ago





No comments:
Post a Comment