Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya
Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo y...
7 hours ago





No comments:
Post a Comment