Leo kuamkia asubuhi,Maeneo ya Ubungo polisi wa kutuliza ghasia waliibuka maeneo ya Ubungo karibia na mitambo ya kuzalisha umeme.Na kuanza kurusha mabomu kwa wafanya biashara wote wanaofanya shughuli zao maeneo hayo hatari.Hata ivyo zoezi hilo lilifanikiwa na wananchi walikimbia eneo hilo,ingawa wengi wao waliumia kutokana na kukimbia wasipokujua.
Aidha jeshi hilo limesema huo ni mwanzo tuu,utaratibu huo utaendelea mpaka wananchi hao watakapo ondoka eneo hilo.Kwasababu linahatarisha maisha yao na taifa kwa ujumla.
Hatua hii imechukuliwa baada ya wananchi hao kukaidi maagizo waliyopewa ya kuondoka eneo hilo.
TARURA KIGAMBONI YAANZA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KM 42 KUPITIA MRADI WA
DMDP II
-
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi
wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la
Da...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment