Leo kuamkia asubuhi,Maeneo ya Ubungo polisi wa kutuliza ghasia waliibuka maeneo ya Ubungo karibia na mitambo ya kuzalisha umeme.Na kuanza kurusha mabomu kwa wafanya biashara wote wanaofanya shughuli zao maeneo hayo hatari.Hata ivyo zoezi hilo lilifanikiwa na wananchi walikimbia eneo hilo,ingawa wengi wao waliumia kutokana na kukimbia wasipokujua.
Aidha jeshi hilo limesema huo ni mwanzo tuu,utaratibu huo utaendelea mpaka wananchi hao watakapo ondoka eneo hilo.Kwasababu linahatarisha maisha yao na taifa kwa ujumla.
Hatua hii imechukuliwa baada ya wananchi hao kukaidi maagizo waliyopewa ya kuondoka eneo hilo.
MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya
Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo y...
8 hours ago




No comments:
Post a Comment