Katibu mkuu wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki Bwn Richard Sezibera ameeleza hayo leo kweye ripoti yake,kuwa kati ya nchi hizo tano Tanzania inaongoza kwa vikwazo vingi vya kibiashara.
Nchi zinazifuata ni Kenya,Uganda na Burundi.Huku Rwanda ikiwa haina kikwazo chochote kile.
Aidha ripoti hiyo ilionyesha vikwazo vimekuwa vingi na inabidi kupunguza ili kufanikisha dhana na malengo ya umoja huo.
Madhara ya vikwazo hivyo ni kuchelewa kwa mizigo inayoagizwa nje ya nchi,kodi mbalimbali na gharama za usafirishaji n.k
Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi
Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni
-
Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito
kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili
kushughulikia mapu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment