Mkutano wa umoja wa nchi za Africa mashariki umejadili kuondoka kodi zinazotozwa na serikali ya Tanzania juu ya maroli yanayotoka Kenya.Mamlaka ya kodi ya Tanzania imekuwa ikitoza ushuru wa dola 200 kwenye maroli yanayoingia nchini,jambo hilo limekuwa kikwazo kwa wafanya biashara wa Kenya wanaoleta bidhaa za nchini Tanzania.
Ingawa haikueleweka kuwa mkutano huo ulizungumzia pia na kodi inayotozwa kwenye magari ya utalii yanayoingia Tanzania.Alhamisi iliyopita waziri Najib Balala alilalamikia kuingia kwa mizigo kinyume cha sheria inayobebwa na magari ya watalii ambayo inanunuliwa na viwanda vya ndani
Aidha Waziri Sirma alieleza Kenya itapunguza vizuizi vya barabara kutoka 36 mpaka 5 na Tanzania 30 mpaka 15 wakati Uganda,Burundi na Rwanda hapatakuwa na mabadiliko.Wingi wa vizuizi hivyo vinachangia kuchekewa kwa mizigo ndani ya jumuiya,kuongezeka kwa gharama vilevile na uwepo wa rushwa.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
21 hours ago




No comments:
Post a Comment