Nafasi zinazotakiwa za uwakilishi wa Bunge la Afrika Mashariki ni Tisa na CCm imechukua nafasi nane na kuacha nafasi moja kwa vyama pinzani.Asilimia kubwa ya wabunnge Jamuhuri ya Muungano la Tanzania,imekubaliana na hoja ya Chadema kuhairishwa kwa uchaguzi wa wawakilishi wa bunge la Afrika Mashariki.
Chadema ilimuandikia barua Dkt.Thomas Kashililah msimamizi wa Uchaguzi wa wawakilishi wa Bunge la Afrika Mashariki kuhairisha zoezi hilo litakalofanyika kesho.
Nia ni kupitia upya utaratibu wa kuwachagua wabunge watakao enda kuwakilisha Bunge la Afrika Mashariki.
Aidha Bwn. George Simbachawene(CCM) alieleza kuwa haoni haja ya kukataa kuwa kunahitaji mabadiliko,kuna haja ya kuangalia upya kanuni hizo kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wabunge wa chama pinzani ukifananisha wa wakati uliopita.
Aidha kada mwengine wa CCM alieleza mfumo wa sasa hauupi nafasi wabunge waliochaguliwa na wanachi wa Tanzania kushiriki katika maamuzi ya uchaguzi huo.Aliongezea pia kama wao wabunge wachache waliochaguliwa na wananchi waliowengi kuwawakilisha,kwanini wawakilishi hao walio wachache wasiwawakilishe wananchi hao kwenye uchaguzi wa Ubunge wa Afrika Mashariki
Aidha Mwanasheria Mkuu mstaafu Andrew Chenge alikatalia mbali hoja hiyo ya Chadema kutaka kuhairishwa kwa Uchaguzi wa wawakilishi wa Bunge la Afrika Mashariki akileleza kwamba haelewi ni kwanini watu wanataka kuongezeka kwa wawakilishi upande wa upinzani,ni haswa haswa kwa mantiki gani aliuliza.Wanataka idadi iongeezeke mpaka ngapi na kwasababu gani aliongezea,aliyasema hayo kwenye mahojianao na Citizen
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
!-end>!-my>
About Me
Visitors
Mulikwa nasi..
Popular Posts
-
A secret society is the one which works in a manner that its activities are oblivious to non-members. There are a wide variety of secret soc...
-
10. John Frank Adams Frank Adams was a well known British mathematician of his time. He got famous because of his great theories which he p...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES JOIN US P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS CENTRE...
-
Its is One year now since Pamoja-tz was established and starting being on air officially.I would like to Thank God for the existance of pamo...
-
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini Dada Rose Muhando anayetamba kwa kibao chake 'Utamu wa Yesu',ameeleza kuwa ana mpango wakufa...
-
No. 1 – Aliko Dangote In November 2011 his net worth was evaluated to $10.1 billion, an increase from last year. He made fortunes from in...
-
Carlos Slim Helu is the world's richest man, according to Forbes. The Mexican telecom giant drives himself to work in his Bentley Contin...
-
(Reuters) - Google Inc is getting into the eyewear business with a pair of thin wraparound shades that puts the company's Web services i...
-
NFS TIM CHZ SHD SUL PTZ FGA FGW TMG PTS 1 Simba SC 13 8 4 1 21 8 13 28 2 Young Africans 13 8 3 2 ...
-
Im so sad since I heard the death annoucement of the great Actor Steven Kanumba.He was a hard worker and he changed the view of the Bongo mo...
My Blog List
-
-
Inauguration Day 2025 : Fashion Statements - Explore the standout styles from the 2025 Inauguration.Where political figures and celebrities showcased a blend of tradition and modernity. ...10 months ago
-
(Photo's) Hivi ndivyo NIKKI WA PILI na washkaji zake walivyokula ndoto ya MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT MANAGEMENT pale CHUO KIKUU CHA MLIMANI - Anajulikana na mashabiki kwa jina la Nikki wa Pili msanii wa Hip Hop nchini anayeliwakilisha lile kundi la WEUSI, jana tarehe 16 Nikki alikuwa ana gradu...12 years ago
-
-



No comments:
Post a Comment