Kesho Jumanne Tarehe 9 Aprili ndio siku atakayozikwa aliyekuwa Muigizaji maalufu wa Filamu Nje na ndani ya Tanzania Maehemu Steven Kanumba maeneo ya Kinondoni.
Heshima za mwisho za kuaga mwili wa marehemu Kanumba zitafanyika maeneo ya Leaders Club Kinondoni na mazishi yatakuwa makaburi ya Kinondoni
Mwili utawasili Leaders mishale ya saa nne asubuhi,hivyo watu wanashauriwa kuwepo maeneo yale mida ya saa tatu za asubuhi.Vilevile polisi wameeleza kuwa bara bara ya Kinondoni itafungwa kwa muda wote wa shughuli hiyo.
Aidha uchunguzi juu ya kifo chake bado unaendelea,"Mtuhumiwa Lulu hataruhusiwa kuwepo kwenye mazishi ya kanumba kisheria,"Alieleza RPC
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
21 hours ago



No comments:
Post a Comment