Maisha ni kupambana tuu,mpaka kieleweke na tusiwa wepesi wa kukata tamaa.Pale tunapoona safari ni ngumu na tunakaribia kukata tamaa ujue mafanikio ndio yanakaribia.
'Work hard and become a Leader,be lazy and never succeed.'Proverbs 12:24
FCC Yaazimia Kuunga Mkono Mpango Mkakati wa Miaka Mitano 2026/31
-
Baraza la Wafanyakazi la Nne la Tume ya Ushindani (FCC) limehitimisha kikao
chake cha siku mbili kwa kuazimia kuunga mkono rasimu ya Mpango Mkakati
Mpya wa...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment