Maisha ni kupambana tuu,mpaka kieleweke na tusiwa wepesi wa kukata tamaa.Pale tunapoona safari ni ngumu na tunakaribia kukata tamaa ujue mafanikio ndio yanakaribia.
'Work hard and become a Leader,be lazy and never succeed.'Proverbs 12:24
Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick Wameshiriki mbio za kimataifa za
Kilimanjaro Marathon
-
Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick nchini kwa mara nyingine wameshiriki mbio
za kimataifa za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika mjini Moshi mkoani
Kiliman...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment