Maisha ni kupambana tuu,mpaka kieleweke na tusiwa wepesi wa kukata tamaa.Pale tunapoona safari ni ngumu na tunakaribia kukata tamaa ujue mafanikio ndio yanakaribia.
'Work hard and become a Leader,be lazy and never succeed.'Proverbs 12:24
Dkt. Lekashingo Auelekeza Mgodi wa Ruvuma Coal Kuimarisha Uzalishaji
-
Ruvuma
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janet Lekashingo, ameutaka Mgodi wa
Makaa ya Mawe ya Ruvuma Coal Limited kuhakikisha unaendeleza uzalishaji
wake...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment