Muda si mrefu jioni hii mishale ya saa moja na dakika ishirini Mheshimiwa Zitto alitoa hoja Bungeni kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu na kukawa na kitabu ambacho wabunge iliwataka kusign ili kubaliana na hoja hiyo na mpaka Bunge linahairishwa ilikuwa ni wabunge zaidi ya sitini waliokuwa wametia sahihi zao.
Aidha Spika wa Bunge Mh.Anne Makinda alitupilia mbali hoja hiyo ya Mheshimiwa Zitto kwa kutumia kanuni za Bunge na Katiba ya Nchi kwa kusudio la kumuondoa waziri mkuu kwa kupiga kura ya utokuwa na Imani naye ilipaswa kuandikwa taarifa ya maandishi inayopaswa kufika kwake kabla ya siku 14 ya siku husika.
Aidha baada ya Mh.Mnyika Mbunge wa Ubungo kusoma muongozo wa spika na kutaja Idadi ya walio tia sahihi kwenye kitabu na kumtaka kwa Idadi hiyo ya wabunge,Na kuuliza Je,Ingewezekana kwa Bunge hilo kujadili swala hilo ifikapo Jumatatu ya wiki Ijayo Tarehe 23.
Ambapo Spika wa Bunge Mh. Anne Makinda aliendelea na msimamo wake huo huo na kuongezea kusema kipindi cha Bunge kitaisha Jumatatu ya Tarehe 23 na kwasababu haijafikia siku 14 hilo swala halitajadilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
!-end>!-my>
About Me
Visitors
Mulikwa nasi..
Popular Posts
-
A secret society is the one which works in a manner that its activities are oblivious to non-members. There are a wide variety of secret soc...
-
10. John Frank Adams Frank Adams was a well known British mathematician of his time. He got famous because of his great theories which he p...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES JOIN US P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS CENTRE...
-
Its is One year now since Pamoja-tz was established and starting being on air officially.I would like to Thank God for the existance of pamo...
-
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini Dada Rose Muhando anayetamba kwa kibao chake 'Utamu wa Yesu',ameeleza kuwa ana mpango wakufa...
-
No. 1 – Aliko Dangote In November 2011 his net worth was evaluated to $10.1 billion, an increase from last year. He made fortunes from in...
-
Carlos Slim Helu is the world's richest man, according to Forbes. The Mexican telecom giant drives himself to work in his Bentley Contin...
-
(Reuters) - Google Inc is getting into the eyewear business with a pair of thin wraparound shades that puts the company's Web services i...
-
NFS TIM CHZ SHD SUL PTZ FGA FGW TMG PTS 1 Simba SC 13 8 4 1 21 8 13 28 2 Young Africans 13 8 3 2 ...
-
Im so sad since I heard the death annoucement of the great Actor Steven Kanumba.He was a hard worker and he changed the view of the Bongo mo...
My Blog List
-
-
Inauguration Day 2025 : Fashion Statements - Explore the standout styles from the 2025 Inauguration.Where political figures and celebrities showcased a blend of tradition and modernity. ...10 months ago
-
(Photo's) Hivi ndivyo NIKKI WA PILI na washkaji zake walivyokula ndoto ya MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT MANAGEMENT pale CHUO KIKUU CHA MLIMANI - Anajulikana na mashabiki kwa jina la Nikki wa Pili msanii wa Hip Hop nchini anayeliwakilisha lile kundi la WEUSI, jana tarehe 16 Nikki alikuwa ana gradu...12 years ago
-
-




No comments:
Post a Comment