Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
-
Na Mwandishi Wetu
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo
amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment