Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
Wakongwe wa Redio Tanzania (RTD) wasisitiza Maadili kwa Vijana
-
Wakati wakongwe wa Redio Tanzania wakiadhimisha miaka 75 ya utangazaji
Tanzania Bara na miaka 61 ya Redio Tanzania wamewataka waandishi na
watangazaji vija...
1 day ago






No comments:
Post a Comment