Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
-
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na
wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la
kuanzis...
1 day ago






No comments:
Post a Comment