Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
Tunduru: Serikali Kuanza Operesheni Kuwaondoa Wafugaji Maeneo ya Kilimo
-
Tunduru-Ruvuma.
Serikali Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imetangaza rasmi kuanza
operesheni kabambe ya kuwaondoa wafugaji wote waliovamia maeneo
yali...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment