Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
DK SAMIA:TUTAIMARISHA UKUSANYAJI MAPATO KUEPUKA MIKOPO NA MISAADA YA
MANYANYASO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kilimanjaro
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema katika miaka mitano ija...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment