Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
CCM YAIOMBA KTI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA TANZANIA KUWAWEZESHA
VIJANA NA WANAWAKE
-
Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (MCC) Ndg. Rabia
Abdallah Hamid, Septemba 19, 2024 Chini Uingereza amefanya mazungumzo na
Bw. Will St...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment