Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
TBS YATOA MAFUNZO KWA WAAGIZAJI NA WASAMBAZAJI WA BIDHAA ZA UMEME
-
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa mafunzo kwa wazalishaji,
waagizaji na wasambazaji wa bidhaa za umeme nchini, likilenga kuhakikisha
bidhaa zinazoi...
51 minutes ago






No comments:
Post a Comment