Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
Tume ya Uchunguzi yaongezewa muda tena hadi Aprili 24
-
Na Mwandishi Wetu.
*DODOMA* : MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya
Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya ...
2 hours ago






No comments:
Post a Comment