Ni maeneo ya Ubungo kwenye kituo cha daladala ambapo konda wa gari hii alimzui mlemavu huyu wa macho akiwa na binti anayemsahidia na konda huyokukataa kuingia kwenye daladala yake.Sababu ya tukio hilo ni ati"hawa watu wakishaingia kwenye daladala wanadai kuwa hawana nauli,hivyo wamevumiliwa vya kutosha"
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA MAJARIBIO YA NYUKLIA: TAEC YASISITIZA MATUMIZI
SALAMA NA YA AMANI YA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA
-
Na TAEC Dodoma
Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga
Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Test...
3 hours ago






No comments:
Post a Comment