Kuna sheria zinawabana Takukuru kufanya kazi yake
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru inakumbana na changamoto mbalimbali katika kufanya kazi yake.Mambo hayo yalitajwa kama uudwaji wake na vilevile wananchi wengi wa Tanzania kutokuwa na uelewa kuhusu haki zao
Mambo hayo yalielezwa na moja ya wafanyakazi wa Takukuru Dodoma Bwana Zakaria Mwandumbya alisema haya katika mkutano wa Africa Peer Review Mechanism.
EURO MONEY YAITANGAZA BENKI YA STANBIC KUWA BENKI BORA YA UWEKEZAJI
-
• Tuzo inadhihirisha benki ya Stanbic kuongoza katika kuchochea uwekezaji,
ajira, na ukuaji wa uchumi wa taifa.
• Tuzo hii inatambua mchango wa benki kat...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment