Kuna sheria zinawabana Takukuru kufanya kazi yake
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru inakumbana na changamoto mbalimbali katika kufanya kazi yake.Mambo hayo yalitajwa kama uudwaji wake na vilevile wananchi wengi wa Tanzania kutokuwa na uelewa kuhusu haki zao
Mambo hayo yalielezwa na moja ya wafanyakazi wa Takukuru Dodoma Bwana Zakaria Mwandumbya alisema haya katika mkutano wa Africa Peer Review Mechanism.
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA MAJARIBIO YA NYUKLIA: TAEC YASISITIZA MATUMIZI
SALAMA NA YA AMANI YA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA
-
Na TAEC Dodoma
Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga
Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Test...
8 hours ago



No comments:
Post a Comment