Kuna sheria zinawabana Takukuru kufanya kazi yake
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru inakumbana na changamoto mbalimbali katika kufanya kazi yake.Mambo hayo yalitajwa kama uudwaji wake na vilevile wananchi wengi wa Tanzania kutokuwa na uelewa kuhusu haki zao
Mambo hayo yalielezwa na moja ya wafanyakazi wa Takukuru Dodoma Bwana Zakaria Mwandumbya alisema haya katika mkutano wa Africa Peer Review Mechanism.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
21 hours ago



No comments:
Post a Comment