Kuna sheria zinawabana Takukuru kufanya kazi yake
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru inakumbana na changamoto mbalimbali katika kufanya kazi yake.Mambo hayo yalitajwa kama uudwaji wake na vilevile wananchi wengi wa Tanzania kutokuwa na uelewa kuhusu haki zao
Mambo hayo yalielezwa na moja ya wafanyakazi wa Takukuru Dodoma Bwana Zakaria Mwandumbya alisema haya katika mkutano wa Africa Peer Review Mechanism.
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment