Kuna sheria zinawabana Takukuru kufanya kazi yake
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru inakumbana na changamoto mbalimbali katika kufanya kazi yake.Mambo hayo yalitajwa kama uudwaji wake na vilevile wananchi wengi wa Tanzania kutokuwa na uelewa kuhusu haki zao
Mambo hayo yalielezwa na moja ya wafanyakazi wa Takukuru Dodoma Bwana Zakaria Mwandumbya alisema haya katika mkutano wa Africa Peer Review Mechanism.
Wakongwe wa Redio Tanzania (RTD) wasisitiza Maadili kwa Vijana
-
Wakati wakongwe wa Redio Tanzania wakiadhimisha miaka 75 ya utangazaji
Tanzania Bara na miaka 61 ya Redio Tanzania wamewataka waandishi na
watangazaji vija...
1 day ago



No comments:
Post a Comment