Sitta kuwa mgeni rasmi mechi ya Simba dhidi ya ES Setif ya Algeria
Waziri wa jumuiya Africa mashariki Mheshimiwa Samweli Sitta atakuwa mgeni rasmi katika mechi ya kombe la shirikisho la CAF kati ya wekundu wa msimbazi Simba na timu kutoka algeria ES Setif
Bwana Ismail Aden Rage mwenyekiti wa simba alithibitisha kuwa mheshimiwa waziri wa jumiya ya Afrika Mashariki na shabiki mzuri wa simba Mh.Samwel Sitta atakuwa mgeni rasmi katika mechi itakayofanyika wiki mbili zijazo hapa nyumbani,katika uwanja wa taifa jijini Dar Es Salaam akiongezea kuwa maandalizi ya mechi hiyo ni mazuri
Es Setif itatua nchini tarehe 21 ya mwezi machi,simba ni timu pekee iliyo katika ligi ya bara,hii ni baada ya kushindwa kuondelea katika shirikisho wapinzani wao wa jadi Yanga iliyo bara vilevile na zanzibar ikiwakilishwa na Mafunzo na Jamuhuri
Timu ya Yanga ilitolewa na timu ya Misri ya Zamalek kwa kukubali ushindi wa magoli mawili kwa moja.Mafunzo ikifungwa mabao tano bila na timu ya Msumbiji Atletica Muculmano na Jamuhuli kwa kuifungwa mabao saba bila ya majibu yoyote na timu ya Zimbabwe ya Hwangwe
Simba ni tumaini la watanzania lililobaki katika mechi za shirikisho hili la Africa,Aidha aliomba watanzania kujitokeza kwa wingi na kusahau tofauti zao za kitimu.
Friday, March 16, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
!-end>!-my>
About Me
Visitors
Mulikwa nasi..
Popular Posts
-
A secret society is the one which works in a manner that its activities are oblivious to non-members. There are a wide variety of secret soc...
-
10. John Frank Adams Frank Adams was a well known British mathematician of his time. He got famous because of his great theories which he p...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES JOIN US P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS CENTRE...
-
Its is One year now since Pamoja-tz was established and starting being on air officially.I would like to Thank God for the existance of pamo...
-
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini Dada Rose Muhando anayetamba kwa kibao chake 'Utamu wa Yesu',ameeleza kuwa ana mpango wakufa...
-
No. 1 – Aliko Dangote In November 2011 his net worth was evaluated to $10.1 billion, an increase from last year. He made fortunes from in...
-
Carlos Slim Helu is the world's richest man, according to Forbes. The Mexican telecom giant drives himself to work in his Bentley Contin...
-
(Reuters) - Google Inc is getting into the eyewear business with a pair of thin wraparound shades that puts the company's Web services i...
-
NFS TIM CHZ SHD SUL PTZ FGA FGW TMG PTS 1 Simba SC 13 8 4 1 21 8 13 28 2 Young Africans 13 8 3 2 ...
-
Im so sad since I heard the death annoucement of the great Actor Steven Kanumba.He was a hard worker and he changed the view of the Bongo mo...
My Blog List
-
-
Inauguration Day 2025 : Fashion Statements - Explore the standout styles from the 2025 Inauguration.Where political figures and celebrities showcased a blend of tradition and modernity. ...10 months ago
-
(Photo's) Hivi ndivyo NIKKI WA PILI na washkaji zake walivyokula ndoto ya MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT MANAGEMENT pale CHUO KIKUU CHA MLIMANI - Anajulikana na mashabiki kwa jina la Nikki wa Pili msanii wa Hip Hop nchini anayeliwakilisha lile kundi la WEUSI, jana tarehe 16 Nikki alikuwa ana gradu...12 years ago
-
-




No comments:
Post a Comment