Jumamosi ya April 14 2012 kutakuwa na mechi ya kirafiki kati ya Wasanii wa filamu Bongo Movie.Lengo la mechi hiyo ni kuchangia Twiga Stars,timu hiyo ya wanawake iliyo katika mchujo wa Kombe la Afrika la wanawake(AWC).Michuano hiyo itafanyika nchini Equatorial Guinea mwezi Novemba ya mwaka huu.
Aidha asilimia mbili ya kitakachopatikana kwenye mechi kiyo ya kirafiki itapelekwa kwenye familia ya aliyekuwa msanii wa filamu Nje na Ndani ya Tanzania Marehemu Steven Kanumba.
Kiingilio kitakuwa 10,000 kwa VIP A, 5,000 kwa VIP B na C na 2000 kwa viti vya rangi ya kijani,blue na chungwa
Mechi itaanza mishale ya saa 10 jioni..
Wote mnakaribishwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
!-end>!-my>
About Me
Visitors
Mulikwa nasi..
Popular Posts
-
A secret society is the one which works in a manner that its activities are oblivious to non-members. There are a wide variety of secret soc...
-
10. John Frank Adams Frank Adams was a well known British mathematician of his time. He got famous because of his great theories which he p...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES JOIN US P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS CENTRE...
-
Its is One year now since Pamoja-tz was established and starting being on air officially.I would like to Thank God for the existance of pamo...
-
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini Dada Rose Muhando anayetamba kwa kibao chake 'Utamu wa Yesu',ameeleza kuwa ana mpango wakufa...
-
No. 1 – Aliko Dangote In November 2011 his net worth was evaluated to $10.1 billion, an increase from last year. He made fortunes from in...
-
Carlos Slim Helu is the world's richest man, according to Forbes. The Mexican telecom giant drives himself to work in his Bentley Contin...
-
(Reuters) - Google Inc is getting into the eyewear business with a pair of thin wraparound shades that puts the company's Web services i...
-
NFS TIM CHZ SHD SUL PTZ FGA FGW TMG PTS 1 Simba SC 13 8 4 1 21 8 13 28 2 Young Africans 13 8 3 2 ...
-
Im so sad since I heard the death annoucement of the great Actor Steven Kanumba.He was a hard worker and he changed the view of the Bongo mo...
My Blog List
-
-
Inauguration Day 2025 : Fashion Statements - Explore the standout styles from the 2025 Inauguration.Where political figures and celebrities showcased a blend of tradition and modernity. ...10 months ago
-
(Photo's) Hivi ndivyo NIKKI WA PILI na washkaji zake walivyokula ndoto ya MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT MANAGEMENT pale CHUO KIKUU CHA MLIMANI - Anajulikana na mashabiki kwa jina la Nikki wa Pili msanii wa Hip Hop nchini anayeliwakilisha lile kundi la WEUSI, jana tarehe 16 Nikki alikuwa ana gradu...12 years ago
-
-




No comments:
Post a Comment