Mamlaka ya Hali ya hewa imetangaza Mawimbi ya Tsunami yatafika Dar Es Salaam Saa Tatu na dakika hamsini na tisa,Huku upande wa Zanzibar ikifika saa Mbili dakika Hasini na Tano.Ukubwa wa mawimbi utakuwa ni mita moja na nusu,Aidha shughuli za Usafirishaji kwa njia ya Pantoni sasa unaendelea mpaka itakapofika mida ya saa tatu na dakika Hamsini na tisa.
Vilevile wakazi waishio karibu na ufukwe wa bahari kuyahama makazi yao na kuwa mbali kidogo na maeneo hayo kwa usalama wa maisha yao.
Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianbet Bonanza Inakupa Mali
-
UMEWAHI kutamani kuwa kwenye kasino yoyote ile hapa mjini lakini ukashindwa
kwenda? Na vipi, uliwahi kutamani mchezo ambao ukishiriki si tu unapata
pesa ...
1 day ago



No comments:
Post a Comment