Mamlaka ya Hali ya hewa imetangaza Mawimbi ya Tsunami yatafika Dar Es Salaam Saa Tatu na dakika hamsini na tisa,Huku upande wa Zanzibar ikifika saa Mbili dakika Hasini na Tano.Ukubwa wa mawimbi utakuwa ni mita moja na nusu,Aidha shughuli za Usafirishaji kwa njia ya Pantoni sasa unaendelea mpaka itakapofika mida ya saa tatu na dakika Hamsini na tisa.
Vilevile wakazi waishio karibu na ufukwe wa bahari kuyahama makazi yao na kuwa mbali kidogo na maeneo hayo kwa usalama wa maisha yao.
Tume ya Uchunguzi yaongezewa muda tena hadi Aprili 24
-
Na Mwandishi Wetu.
*DODOMA* : MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya
Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya ...
56 minutes ago



No comments:
Post a Comment