Mamlaka ya Hali ya hewa imetangaza Mawimbi ya Tsunami yatafika Dar Es Salaam Saa Tatu na dakika hamsini na tisa,Huku upande wa Zanzibar ikifika saa Mbili dakika Hasini na Tano.Ukubwa wa mawimbi utakuwa ni mita moja na nusu,Aidha shughuli za Usafirishaji kwa njia ya Pantoni sasa unaendelea mpaka itakapofika mida ya saa tatu na dakika Hamsini na tisa.
Vilevile wakazi waishio karibu na ufukwe wa bahari kuyahama makazi yao na kuwa mbali kidogo na maeneo hayo kwa usalama wa maisha yao.
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
14 hours ago



No comments:
Post a Comment