Mamlaka ya Hali ya hewa imetangaza Mawimbi ya Tsunami yatafika Dar Es Salaam Saa Tatu na dakika hamsini na tisa,Huku upande wa Zanzibar ikifika saa Mbili dakika Hasini na Tano.Ukubwa wa mawimbi utakuwa ni mita moja na nusu,Aidha shughuli za Usafirishaji kwa njia ya Pantoni sasa unaendelea mpaka itakapofika mida ya saa tatu na dakika Hamsini na tisa.
Vilevile wakazi waishio karibu na ufukwe wa bahari kuyahama makazi yao na kuwa mbali kidogo na maeneo hayo kwa usalama wa maisha yao.
Vyuo nje ya nchi kutoa ufadhili wanafunzi wa Tanzania
-
-Fursa za elimu ya juu kimataifa sasa kupatikana Dar
Na Mwandishi Wetu
WAKALA wa Elimu Nje ya nchi Global Education Link inatarajia kuwakutanisha
wanafunz...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment