Mamlaka ya Hali ya hewa imetangaza Mawimbi ya Tsunami yatafika Dar Es Salaam Saa Tatu na dakika hamsini na tisa,Huku upande wa Zanzibar ikifika saa Mbili dakika Hasini na Tano.Ukubwa wa mawimbi utakuwa ni mita moja na nusu,Aidha shughuli za Usafirishaji kwa njia ya Pantoni sasa unaendelea mpaka itakapofika mida ya saa tatu na dakika Hamsini na tisa.
Vilevile wakazi waishio karibu na ufukwe wa bahari kuyahama makazi yao na kuwa mbali kidogo na maeneo hayo kwa usalama wa maisha yao.
DKT NCHIMBI AAHIDI NEEMA NEWALA | CCM KUONGEZA RUZUKU KWENYE MBOLEA NA
MBEGU KWA WAKULIMA
-
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia
CCM, Dkt .Emmanuel John Nchimbi amesema miaka mitano inayokuja Serikali ya
Ch...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment