Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
MGOMBEA UDIWANI KATA YA MJINI SONGEA, MATHEW NGALIMANAYO AOMBA RIDHAA YA
AWAMU YA PILI
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Mjini, Manispaa ya Songea kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Mathew Casian Ngalimanayo, ameomba tena ridhaa ya ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment