Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
TTCL YAWEKA INTANETI YA KISASA AMANI RESIDENCY KIZIMKAZI
-
Na Mwandishi Wetu - Zanzibar
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za
Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchu...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment