Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan 
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
                      -
                    
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) 
M...
21 hours ago






 

 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment