Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
2 hours ago




No comments:
Post a Comment