Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
DKT. MWIGULU: TUWAWEZESHE WATANZANIA KUSHIKA UCHUMI WAO
-
▪️︎ Azindua Mfumo wa Kitaifa wa Taarifa za Uwezeshaji Kiuchumi (NEMIS)
▪️︎ Ataka wigo wa miradi kwa Watanzania kupanuliwa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nche...
12 hours ago




No comments:
Post a Comment