Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
WAZIRI MKUU AKAGUA MADHARA YA MOTO SOKO LA SIMU 2000, AAGIZA HATUA ZA
HARAKA KUREJESHA BIASHARA
-
-Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi
-Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hat...
13 hours ago




No comments:
Post a Comment