Masanii wa filamu Elizabeth Michael ali maarufu kama Lulu anayetuhumiwa katika mauaji ya Msanii mwenzake wa Filamu Steven Kanumba leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa kesi inayomkabili.
Aidha waandishi wa habari hawakuweza kushuhudia tukio hilo na hata kumuona kutokana na kuwa chini ya Ulinzi mkali.
Aidha kesi hiyo itasomwa tena tarehe 23 Aprili ya mwaka huu 2012...
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment