Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania imetangaza kuwepo kwa upepo mkali aina ya Tsunami maeneo ya pwani za bahari ya Hindi.
Aidha wananchi wanaoishi maeneo ya ukanda wa Bahari na wanaofanya shughuli mbali mbali kama usafiri na uvuvi kusitisha shughuli hizo ili kunusu maisha yao.
Hivi ni jinsi anga la baadhi ya maeneo ya Dar Es Salaam linavyooneka
Wale ndugu zangu tunaoishi Mabondeni hebu tuhame na sisi,maana hatujui ni kiasi gani hii mvua itanyesha.
Shughuli za usafirishaji za Pantoni eneo la kigamboni zimesitishwa mpaka sasa na wavuvi pia wameshauriwa kutofanya shughuli zao kwa muda huu.Saa kumi na moja ndio saa linalotarajiwa kwa Tsunami hiyo itatokea.
Tuombe Mungu atusaidie na kutuepusha na Balaa hilo.
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...
6 hours ago





No comments:
Post a Comment