Kompyuta za Macintosh zilizojizolea umaarufu mkubwa baada ya sifa zake kuwa haziingii virusi,Hivi majuzi imetangazwa kuwa kumpyuta zaidi ya nusu milioni za kampuni hiyo zimeingiwa na virusi.
Virusi hivyo vilivyotengenezwa rasmi kuathiri machine zote za kampuni ya Apple.
Aidha imeelezwa kwamba wataalamu wengi waliobobea kwenye kutengeneza virusi vya kuathiri kompyuta sasa wameelekeza nguvu zao nyingi kwenye kushambulia mashine za kampuni ya Apple.
SERIKALI YATAKA WARATIBU TASAF KUANDAA KANZI DATA YA WANAFUNZI WALIOHITIMU
ELIMU YA JUU
-
Na Mwandishi Wetu,Mbeya
SERIKALI imewataka waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini (TASAF)
kuandaa kanzi data za wanafunzi wanaohitimu elimu ya ju...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment