Kompyuta za Macintosh zilizojizolea umaarufu mkubwa baada ya sifa zake kuwa haziingii virusi,Hivi majuzi imetangazwa kuwa kumpyuta zaidi ya nusu milioni za kampuni hiyo zimeingiwa na virusi.
Virusi hivyo vilivyotengenezwa rasmi kuathiri machine zote za kampuni ya Apple.
Aidha imeelezwa kwamba wataalamu wengi waliobobea kwenye kutengeneza virusi vya kuathiri kompyuta sasa wameelekeza nguvu zao nyingi kwenye kushambulia mashine za kampuni ya Apple.
MGOMBEA UDIWANI KATA YA MJINI SONGEA, MATHEW NGALIMANAYO AOMBA RIDHAA YA
AWAMU YA PILI
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Mjini, Manispaa ya Songea kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Mathew Casian Ngalimanayo, ameomba tena ridhaa ya ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment