Kompyuta za Macintosh zilizojizolea umaarufu mkubwa baada ya sifa zake kuwa haziingii virusi,Hivi majuzi imetangazwa kuwa kumpyuta zaidi ya nusu milioni za kampuni hiyo zimeingiwa na virusi.
Virusi hivyo vilivyotengenezwa rasmi kuathiri machine zote za kampuni ya Apple.
Aidha imeelezwa kwamba wataalamu wengi waliobobea kwenye kutengeneza virusi vya kuathiri kompyuta sasa wameelekeza nguvu zao nyingi kwenye kushambulia mashine za kampuni ya Apple.
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
-
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na
wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la
kuanzis...
1 day ago




No comments:
Post a Comment