Kompyuta za Macintosh zilizojizolea umaarufu mkubwa baada ya sifa zake kuwa haziingii virusi,Hivi majuzi imetangazwa kuwa kumpyuta zaidi ya nusu milioni za kampuni hiyo zimeingiwa na virusi.
Virusi hivyo vilivyotengenezwa rasmi kuathiri machine zote za kampuni ya Apple.
Aidha imeelezwa kwamba wataalamu wengi waliobobea kwenye kutengeneza virusi vya kuathiri kompyuta sasa wameelekeza nguvu zao nyingi kwenye kushambulia mashine za kampuni ya Apple.
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
12 hours ago




No comments:
Post a Comment