Leo kuamkia asubuhi,Maeneo ya Ubungo polisi wa kutuliza ghasia waliibuka maeneo ya Ubungo karibia na mitambo ya kuzalisha umeme.Na kuanza kurusha mabomu kwa wafanya biashara wote wanaofanya shughuli zao maeneo hayo hatari.Hata ivyo zoezi hilo lilifanikiwa na wananchi walikimbia eneo hilo,ingawa wengi wao waliumia kutokana na kukimbia wasipokujua.
Aidha jeshi hilo limesema huo ni mwanzo tuu,utaratibu huo utaendelea mpaka wananchi hao watakapo ondoka eneo hilo.Kwasababu linahatarisha maisha yao na taifa kwa ujumla.
Hatua hii imechukuliwa baada ya wananchi hao kukaidi maagizo waliyopewa ya kuondoka eneo hilo.
SERIKALI YAONGEZA MAFUNZO KWA WALIMU WA SAYANSI NA HISABATI, KUPUNGUZA
UHABA WA WATAALAM
-
Mratibu wa Mafunzo Kituo cha Shule ya Sekondari Bagamoyo, Winchslaus Balige
akizungumza katika mafunzo hayo.
Ofisa Elimu Mkoa wa Pwani, Jimmy Nkwamu akizun...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment