Katibu mkuu wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki Bwn Richard Sezibera ameeleza hayo leo kweye ripoti yake,kuwa kati ya nchi hizo tano Tanzania inaongoza kwa vikwazo vingi vya kibiashara.
Nchi zinazifuata ni Kenya,Uganda na Burundi.Huku Rwanda ikiwa haina kikwazo chochote kile.
Aidha ripoti hiyo ilionyesha vikwazo vimekuwa vingi na inabidi kupunguza ili kufanikisha dhana na malengo ya umoja huo.
Madhara ya vikwazo hivyo ni kuchelewa kwa mizigo inayoagizwa nje ya nchi,kodi mbalimbali na gharama za usafirishaji n.k
Vyuo nje ya nchi kutoa ufadhili wanafunzi wa Tanzania
-
-Fursa za elimu ya juu kimataifa sasa kupatikana Dar
Na Mwandishi Wetu
WAKALA wa Elimu Nje ya nchi Global Education Link inatarajia kuwakutanisha
wanafunz...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment