Katibu mkuu wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki Bwn Richard Sezibera ameeleza hayo leo kweye ripoti yake,kuwa kati ya nchi hizo tano Tanzania inaongoza kwa vikwazo vingi vya kibiashara.
Nchi zinazifuata ni Kenya,Uganda na Burundi.Huku Rwanda ikiwa haina kikwazo chochote kile.
Aidha ripoti hiyo ilionyesha vikwazo vimekuwa vingi na inabidi kupunguza ili kufanikisha dhana na malengo ya umoja huo.
Madhara ya vikwazo hivyo ni kuchelewa kwa mizigo inayoagizwa nje ya nchi,kodi mbalimbali na gharama za usafirishaji n.k
Dkt. Lekashingo Auelekeza Mgodi wa Ruvuma Coal Kuimarisha Uzalishaji
-
Ruvuma
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janet Lekashingo, ameutaka Mgodi wa
Makaa ya Mawe ya Ruvuma Coal Limited kuhakikisha unaendeleza uzalishaji
wake...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment