Katibu mkuu wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki Bwn Richard Sezibera ameeleza hayo leo kweye ripoti yake,kuwa kati ya nchi hizo tano Tanzania inaongoza kwa vikwazo vingi vya kibiashara.
Nchi zinazifuata ni Kenya,Uganda na Burundi.Huku Rwanda ikiwa haina kikwazo chochote kile.
Aidha ripoti hiyo ilionyesha vikwazo vimekuwa vingi na inabidi kupunguza ili kufanikisha dhana na malengo ya umoja huo.
Madhara ya vikwazo hivyo ni kuchelewa kwa mizigo inayoagizwa nje ya nchi,kodi mbalimbali na gharama za usafirishaji n.k
ITA KUJA NA KOZI YA UZAMILI WA FORODHA KUKIDHI SOKO LA WATAALAMU
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
CHU0 Cha Kodi (ITA) kimewakutanisha wadau mbalimbali wa ikiwemo sekta ya
forodha, kodi na elimu kujadili namna ya kuandaa ko...
2 hours ago




No comments:
Post a Comment