Katibu mkuu wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki Bwn Richard Sezibera ameeleza hayo leo kweye ripoti yake,kuwa kati ya nchi hizo tano Tanzania inaongoza kwa vikwazo vingi vya kibiashara.
Nchi zinazifuata ni Kenya,Uganda na Burundi.Huku Rwanda ikiwa haina kikwazo chochote kile.
Aidha ripoti hiyo ilionyesha vikwazo vimekuwa vingi na inabidi kupunguza ili kufanikisha dhana na malengo ya umoja huo.
Madhara ya vikwazo hivyo ni kuchelewa kwa mizigo inayoagizwa nje ya nchi,kodi mbalimbali na gharama za usafirishaji n.k
Serikali na Sekta binafsi zafanikisha huduma za Afya Mkoa wa Dar es salaam
-
Na Particia Kimelemeta, Dar es salaam
MGANGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Mohamed Mang'una amesema kuwa,
mafanikio katika sekta ya afya yaliyopo mk...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment