Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
DK SAMIA:TUTAIMARISHA UKUSANYAJI MAPATO KUEPUKA MIKOPO NA MISAADA YA
MANYANYASO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kilimanjaro
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema katika miaka mitano ija...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment