Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
JK AENDELEA KUWA KINARA WA ELIMU DUNIANI
-
Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi
ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global
Partner...
2 hours ago




No comments:
Post a Comment