Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
REA WAACHA TABASAMU KILOMBERO UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA
-
*Ni ujenzi uliogharimu Sh.bilioni 25,changamoto ya kukatika umeme imebaki
historia
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ifakara
MRADI wa ujenzi wa Kituo cha ku...
3 hours ago




No comments:
Post a Comment