Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
VIJANA WAPIGA DEBE MKATA WAVUNJA REKODI, WANUNUA COASTER KWA MKOPO WA
HALMASHAURI
-
Na Mashaka Mhando, Handeni
HATUA ya Serikali ya Awamu ya Sita kuwezesha makundi maalum kiuchumi
imeanza kuzaa matunda makubwa Wilayani Handeni, baada ya ...
4 hours ago




No comments:
Post a Comment