Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
CRDB YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA WAFUGAJI
-
Wafugaji nchini wameendelea kunufaika na huduma za kifedha baada ya
kuongezeka kwa uelewa wao kuhusu masuala ya fedha na uwekezaji, hatua
iliyowezesha ku...
23 hours ago




No comments:
Post a Comment