Msanii wa Bongo Fleva Mark 'Makamua' Paul leo 29 April 2012 ameandika Facebook kuwa yeye na pombe basi tena..
Hivi ndivyo alivyoandika "ninapenda kusema kuwa ninafuraha kwa maamuz yangu ya kuacha kilevi cha aina yoyote,4sake f my life n my family!!may God helpmi koz peke yangu ctaweza.mwendo wa vitu vitamu tuh na vyakutoa shavu ha ha ha!"
Haya kaka,all the best..
MHASIBU MKUU WA SERIKALI AZINDUA AWAMU YA PILI YA BODI YA RUFAA YA WAHASIBU
NA WAKAGUZI WA HESABU (AAAB)
-
Mhasibu Mkuu wa Serikali, CPA Leonard Mkude amezindua rasmi awamu ya pili
ya Bodi ya Rufaa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (Accountants and
Auditors...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment