Angalia vizuri picha hapo juu
Tafsiri yako ni ipi juu ya picha hiyo?
Labda ni kusaidie,
Sehemu ya juu ya picha hii inaonyesha samaki Mkubwa akitaka kumeza samaki wengi walio wadogo,ambapo wanajikuta wakikimbia pasipo eleweka.
Tuanze na mfano kwa wananchi,kuna baadhi ya wachache wanaotesa walio wengi kisa wanapesa au wana mamlaka fulani fulani,hivyo mtu mmoja anaweza kuvuruga ndoto za waliowengi,sababu ni tuu anakitu fulani kinachomlinda n.k
Tukienda kwa mfano wa nchi,Utakuta kuna Nchi fulani zenye nguvu ya pesa au majeshi inatumia mabavu yake kutesa nchi fulani fulani ziliyo nyonge,Hii inatokana na sababu mbalimbali eidha nchi hizo ndogo zina kitu fulani ambacho wakikifanikisha zitakuwa mbali kijamii,kiuchumi na kisiasa pia.Kutokana na unyonge huo na kutokuwa na umoja nchi hizo zilizo nyingi zinajikuta zikionewa na Nchi moja au chache zenye nguvu.
Vile vile kwenye upande wa biashara inawezekana kuna Kampuni moja kubwa(Monopoly) yenye masoko na pesa inatumia nafasi hiyo kukandamiza makampuni madogo madogo,kwa kukosekana kwa umoja kati yao na kushindwa biashara.
Ni machache tuu niliyojaribu kuelezea kenye sehemu ya kwanza ya Picha hii,Sasa tuelekee kwenye sehemu ya chini.
Inaonyesha yule samaki aliyekuwa anaonyesha akitaka kuwameza samaki wengine wadogo sasa samaki hao wamejiunga na ni zamu ya yule samaki mkubwa kumezwa na amejikuta kakimbia.
Fundisho ni nini??
Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu,hivyo tunashauliwa chochote tunavyofanya inabidi tuwe na umoja hata akitokea wa kutuharibia hataweza kutushinda.
Unaweza kutoka maoni yako kwenye sanduku letu la maoni hapo chini kwa nyongeza yoyote juu ya picha hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
!-end>!-my>
About Me
Visitors
Mulikwa nasi..
Popular Posts
-
A secret society is the one which works in a manner that its activities are oblivious to non-members. There are a wide variety of secret soc...
-
10. John Frank Adams Frank Adams was a well known British mathematician of his time. He got famous because of his great theories which he p...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES JOIN US P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS CENTRE...
-
Its is One year now since Pamoja-tz was established and starting being on air officially.I would like to Thank God for the existance of pamo...
-
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini Dada Rose Muhando anayetamba kwa kibao chake 'Utamu wa Yesu',ameeleza kuwa ana mpango wakufa...
-
No. 1 – Aliko Dangote In November 2011 his net worth was evaluated to $10.1 billion, an increase from last year. He made fortunes from in...
-
Carlos Slim Helu is the world's richest man, according to Forbes. The Mexican telecom giant drives himself to work in his Bentley Contin...
-
(Reuters) - Google Inc is getting into the eyewear business with a pair of thin wraparound shades that puts the company's Web services i...
-
NFS TIM CHZ SHD SUL PTZ FGA FGW TMG PTS 1 Simba SC 13 8 4 1 21 8 13 28 2 Young Africans 13 8 3 2 ...
-
Im so sad since I heard the death annoucement of the great Actor Steven Kanumba.He was a hard worker and he changed the view of the Bongo mo...
My Blog List
-
-
Inauguration Day 2025 : Fashion Statements - Explore the standout styles from the 2025 Inauguration.Where political figures and celebrities showcased a blend of tradition and modernity. ...10 months ago
-
(Photo's) Hivi ndivyo NIKKI WA PILI na washkaji zake walivyokula ndoto ya MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT MANAGEMENT pale CHUO KIKUU CHA MLIMANI - Anajulikana na mashabiki kwa jina la Nikki wa Pili msanii wa Hip Hop nchini anayeliwakilisha lile kundi la WEUSI, jana tarehe 16 Nikki alikuwa ana gradu...12 years ago
-
-




No comments:
Post a Comment