Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TCIA Bwn Josephat Nakapape ameeleza kuwa kutakuwa na utoaji wa Tuzo mbali mbali kwa Wahandisi,wasanifu na wajenzi wa viwanda.Katika kukubali kazi nzuri wanazozifanya.Tuzo hizo zitaleta mukali kwa utendaji kazi,ubora na umakini katika sekta hiyo.Aidha na kufungua nafasi kwa wawekezaji kuja na kuwekeza katika nchi yetu.
Kwa mujibu wa Dkt.Victor Muchuza(TCIA),Tuzo hizo zimegawanywa kutokana na gharama na aina ya miradi
"Tuzo zipo kwa miradi yote iliyofanyika nchini Tanzania kwa mhandisi wa ndani na nje pia"Aliongezea.
BUNAZI GREEN ACRES YAONGOZA KITAALUMA MIAKA 10 MFULULIZO
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imezitaka shule nchini kuweka kipaumbele kwenye mafunzo ya
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa wanafunzi wao ili k...
3 hours ago



No comments:
Post a Comment