Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TCIA Bwn Josephat Nakapape ameeleza kuwa kutakuwa na utoaji wa Tuzo mbali mbali kwa Wahandisi,wasanifu na wajenzi wa viwanda.Katika kukubali kazi nzuri wanazozifanya.Tuzo hizo zitaleta mukali kwa utendaji kazi,ubora na umakini katika sekta hiyo.Aidha na kufungua nafasi kwa wawekezaji kuja na kuwekeza katika nchi yetu.
Kwa mujibu wa Dkt.Victor Muchuza(TCIA),Tuzo hizo zimegawanywa kutokana na gharama na aina ya miradi
"Tuzo zipo kwa miradi yote iliyofanyika nchini Tanzania kwa mhandisi wa ndani na nje pia"Aliongezea.
Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianbet Bonanza Inakupa Mali
-
UMEWAHI kutamani kuwa kwenye kasino yoyote ile hapa mjini lakini ukashindwa
kwenda? Na vipi, uliwahi kutamani mchezo ambao ukishiriki si tu unapata
pesa ...
1 day ago



No comments:
Post a Comment