Hii ni Tanzania
Harusi zetu za siku izi
Sina uhakika kama maisha ya wanandoa hao ni sawa na harusi yao.
Je kuna umuhimu wa kuwa na harusi ya gharama kama hii???
Mimi sifahamu,sijui wewe...
WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI
WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI
-
Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya
Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza
majukumu na wajib...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment