Hii ni Tanzania
Harusi zetu za siku izi
Sina uhakika kama maisha ya wanandoa hao ni sawa na harusi yao.
Je kuna umuhimu wa kuwa na harusi ya gharama kama hii???
Mimi sifahamu,sijui wewe...
MRADI WA KIJANA TOGORA KUFIKIA VIJANA ZAIDI YA 1000 JIJINI TANGA
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MRADI wa Kijana Togora tunakusikiliza unaotekeleza na Taasisi ya Afya Cheki
chini ya Programu ya Tanga Yetu unaofadhiliwa na Botn...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment