Barabara za juu zanukia
Serikali ya jamuhuli ya muungano ya Tanzania imeingia mkataba na kampuni ya ukandarasi ya kijerumani ya STRABERG wa shilingi bilioni 220 katika ujenzi wa barabara ya kilomita 21 na barabara zipitazo juu tano katika mradi ya kupunguza foleni katika mkoa wa Dar Es Salaam
Waziri wa ujenzi na miundombinu Mheshimiwa Dr John Magufuli alieleza hili jana na ambapo alisema kazi hiyo itaanza baada ya wiki mbili na ambapo barabara itapanuliwa kuanzia kivukoni mpaka kimara na barabara za juu yaani flyover zitajengwa Tazara,Ubungo,magomeni,fire,kamata na makutano ya barabara ya chang'ombe hii ni kupunguza adha ya msongamano wa magari.Mhandisi huyo ameahidi kumaliza kazi aliyopewa ndani ya miezi 36
Thursday, March 15, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
!-end>!-my>
About Me
Visitors
Mulikwa nasi..
Popular Posts
-
A secret society is the one which works in a manner that its activities are oblivious to non-members. There are a wide variety of secret soc...
-
10. John Frank Adams Frank Adams was a well known British mathematician of his time. He got famous because of his great theories which he p...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA ACSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES JOIN US P0101 AZANIA CENTRE P0104 BWIRU BOYS CENTRE...
-
Its is One year now since Pamoja-tz was established and starting being on air officially.I would like to Thank God for the existance of pamo...
-
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini Dada Rose Muhando anayetamba kwa kibao chake 'Utamu wa Yesu',ameeleza kuwa ana mpango wakufa...
-
No. 1 – Aliko Dangote In November 2011 his net worth was evaluated to $10.1 billion, an increase from last year. He made fortunes from in...
-
Carlos Slim Helu is the world's richest man, according to Forbes. The Mexican telecom giant drives himself to work in his Bentley Contin...
-
(Reuters) - Google Inc is getting into the eyewear business with a pair of thin wraparound shades that puts the company's Web services i...
-
NFS TIM CHZ SHD SUL PTZ FGA FGW TMG PTS 1 Simba SC 13 8 4 1 21 8 13 28 2 Young Africans 13 8 3 2 ...
-
Im so sad since I heard the death annoucement of the great Actor Steven Kanumba.He was a hard worker and he changed the view of the Bongo mo...
My Blog List
-
-
Inauguration Day 2025 : Fashion Statements - Explore the standout styles from the 2025 Inauguration.Where political figures and celebrities showcased a blend of tradition and modernity. ...10 months ago
-
(Photo's) Hivi ndivyo NIKKI WA PILI na washkaji zake walivyokula ndoto ya MASTER OF ARTS IN DEVELOPMENT MANAGEMENT pale CHUO KIKUU CHA MLIMANI - Anajulikana na mashabiki kwa jina la Nikki wa Pili msanii wa Hip Hop nchini anayeliwakilisha lile kundi la WEUSI, jana tarehe 16 Nikki alikuwa ana gradu...12 years ago
-
-




No comments:
Post a Comment