Barabara za juu zanukia
Serikali ya jamuhuli ya muungano ya Tanzania imeingia mkataba na kampuni ya ukandarasi ya kijerumani ya STRABERG wa shilingi bilioni 220 katika ujenzi wa barabara ya kilomita 21 na barabara zipitazo juu tano katika mradi ya kupunguza foleni katika mkoa wa Dar Es Salaam
Waziri wa ujenzi na miundombinu Mheshimiwa Dr John Magufuli alieleza hili jana na ambapo alisema kazi hiyo itaanza baada ya wiki mbili na ambapo barabara itapanuliwa kuanzia kivukoni mpaka kimara na barabara za juu yaani flyover zitajengwa Tazara,Ubungo,magomeni,fire,kamata na makutano ya barabara ya chang'ombe hii ni kupunguza adha ya msongamano wa magari.Mhandisi huyo ameahidi kumaliza kazi aliyopewa ndani ya miezi 36
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
21 hours ago




No comments:
Post a Comment