Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
-
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na
wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la
kuanzis...
1 day ago




No comments:
Post a Comment