Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
Wakongwe wa Redio Tanzania (RTD) wasisitiza Maadili kwa Vijana
-
Wakati wakongwe wa Redio Tanzania wakiadhimisha miaka 75 ya utangazaji
Tanzania Bara na miaka 61 ya Redio Tanzania wamewataka waandishi na
watangazaji vija...
1 day ago




No comments:
Post a Comment