Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA MAJARIBIO YA NYUKLIA: TAEC YASISITIZA MATUMIZI
SALAMA NA YA AMANI YA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA
-
Na TAEC Dodoma
Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga
Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Test...
5 hours ago




No comments:
Post a Comment