Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
Dkt. Lekashingo Auelekeza Mgodi wa Ruvuma Coal Kuimarisha Uzalishaji
-
Ruvuma
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janet Lekashingo, ameutaka Mgodi wa
Makaa ya Mawe ya Ruvuma Coal Limited kuhakikisha unaendeleza uzalishaji
wake...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment