Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
UZINDUZI WA KITABU CHA WATOTO: KUZUIA UTORO SHULENI
-
Dar es Salaam, 18 Julai 2025
Mwandishi wa vitabu vya kuelimisha watoto, Bi. Riziki Mohamed Juma,
amezindua rasmi kitabu chake kipya kiitwacho “Saburi” kat...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment