Mbwa mwenye sura mbaya duniani afariki dunia akiwa na miaka 15
Mbwa huyo aliyepewa jina la Yuda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 15 ambaye alichati ya kuwa mbwa mbaya duniani ameaga dunia jumamosi machi 10 2012.Mmiliki wa mbwa hiyo Terry Schumacher alituma email kwa moja ya makampuni ya magazeti nchini humo(China) na kueleza kuwa alifariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia tarehe 10 machi 2012
Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianbet Bonanza Inakupa Mali
-
UMEWAHI kutamani kuwa kwenye kasino yoyote ile hapa mjini lakini ukashindwa
kwenda? Na vipi, uliwahi kutamani mchezo ambao ukishiriki si tu unapata
pesa ...
1 day ago




No comments:
Post a Comment